Kagame akubali kukutana na Tshisekedi kuzungumzia mzozo wa mashariki ya DRC

  • | VOA Swahili
    424 views
    Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola Tete Antonio amesema Jumatatu kwamba Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na mwenzake wa Jamhiri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mazungumzo kuhusu hali ya usalama mkashariki ya Congo.