Skip to main content
Skip to main content

Kakamega: polisi waanzisha uchunguzi kutokana na mauaji ya mwanamke mmoja ndani ya nyumba yake

  • | NTV Video
    1,689 views
    Duration: 3:16
    Maafisa wa polisi kutoka eneo bunge la Malava, Kaunti ya Kakamega wameanzisha uchunguzi kutokana na mauaji ya kinyama yaliyotokea katika kijiji cha Chombeli karibu na soko la Lubao ambapo mwili wa mwanamke mwenye umri wa miaka 45 ulipatikana ndani ya nyumba yake. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya