- 671 viewsMakamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Jumatano amekubali kushindwa katika uchaguzi wa urais, akimpigia simu Rais wa zamani Donald Trump, kumpongeza kwa ushindi wake na kuwaambia wafuasi wake kwamba si wakati wa kumaliza vita vya kutetea maono ya kimaendeleo kwa nchi hiyo. “Ni sawa kusikia huzuni na kukata tamaa,” aliuambia umati wa watu katika Chuo Kikuu cha Howard, hapa Washington, chuo alicho somea. Mgombea huyo wa chama cha Demokrat amesema mapambano yataendelea katika kura, mahakamani na majukwaa ya umma. Trump ameshinda uchaguzi wa Jumanne na kuwa rais wa 47 wa nchi hiyo huku akitwaa takriban majimbo matano kati ya saba muhimu ya ushindani na alikuwa akiongoza katika mengine mawili wakati hesabu za kura zikiendelea. Trump na makamu wake JD Vance, wataingia madarakani Januari 20 kwa muhula wa miaka minne. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Kamala ampongeza Trump, aeleza kanuni ya msingi ya demokrasia
- - Duniani Leo ››
- 18 Jun 2025 - The US president insists Washington has played no part in ally Israel's bombing campaign, but also warned Iran his patience is wearing thin as the conflict enters a sixth day.
- 18 Jun 2025 - Four human rights activists arrested on Tuesday in Mombasa for participating in a protest demanding justice for the late teacher and blogger Albert Ojwang’ have been released on cash bail of Ksh.5,000 each.
- 18 Jun 2025 - Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
- 18 Jun 2025 - Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
- 18 Jun 2025 - Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
- 18 Jun 2025 - The suspect is currently being held by anti-terror police.
- 18 Jun 2025 - Investigations have since began to establish the main cause of the accident
- 18 Jun 2025 - The city mask vendor who was shot in Nairobi is currently undergoing surgery, with an intensive care unit (ICU) bed prepared for post-operative care.
- 18 Jun 2025 - Tina Knowles reveals how a matrilineal bloodline survived slavery, segregation and police brutality to create music royalty
- 18 Jun 2025 - One of the five arresting officers told the family he was accused of insulting a police boss on social media.