- 368 views
Kamati ya bunge kuhusu Hazina ya Maendeleo ya Maeneo Bunge imeikashifu serikali kuhusu kucheleweshwa kwa utoaji wa fedha za CDF kwa maeneo bunge. Kamati hiyo iliyozuru eneo bunge la Awendo kukagua miradi inayofadhiliwa na NG-CDF imesema miradi kadhaa iliyopangwa mwaka huu wa fedha haijakamilika kwa sababu ya serikali kuu kuchelewesha pesa hizo.Mwenyekiti wa kamati hiyo Musa Sirma amesema wabunge wametimiza asilimia 30 hadi 40 pekee ya miradi yao iliyopangwa katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.
Kamati ya bunge yalalamikia kuchelewa kwa fedha za NG-CDF
- 14 May 2024 - Nicodemus Langat Kipgorola appeared before Kabarnet Principal Magistrate Caroline Ateya on Monday and was charged under the Wildlife Conservation and Management Act of 2013.
- 14 May 2024 - Israel battled Hamas in Gaza on Monday, including in far-southern Rafah, despite US warnings against a full-scale invasion of the crowded city and of the threat of post-war "anarchy" across the Palestinian territory.
- 14 May 2024 - German police on Monday opened an investigation after a deep hole was discovered at the grave of former finance minister Wolfgang Schaeuble, who died late last year.
- 14 May 2024 - The court withdrew the matter under section 87(a) of the Criminal Procedure Code. The court further ordered that the cash bail he had deposited be released.
- 14 May 2024 - Learning in junior secondary schools (JSS) around the country failed to kick off for the second term as JSS teachers staged a countrywide protest to demand for employment on permanent and pensionable terms.
- 14 May 2024 - However, MPs from the Azimio coalition have sided with the Senate proposal, arguing that counties need more resources as they handle critical functions affecting Kenyans.
- 14 May 2024 - Relief to parents as schools finally resume
- 14 May 2024 - MPs clear Linturi in fake fertiliser scandal
- 14 May 2024 - Anxiety as woman is buried in 30 minutes amid legal battle
- 14 May 2024 - Shilling predicted to strengthen further