Skip to main content
Skip to main content

Kamati ya Olimpiki ya kitaifa nchini (NOC-K) imefanya kikao chake cha kwanza

  • | Citizen TV
    153 views
    Duration: 53s
    Kamati ya Olimpiki ya kitaifa nchini (NOC-K) imefanya kikao chake cha kwanza wa mameneja wa timu walioteuliwa ambao watasimamia timu za kenya kwenye michezo ya jumuiya ya madola 2026, itakayofanyika kuanzia julai 24 hadi agosti 2 2026 huko glasgow, Scotland.