- 153 viewsDuration: 53sKamati ya Olimpiki ya kitaifa nchini (NOC-K) imefanya kikao chake cha kwanza wa mameneja wa timu walioteuliwa ambao watasimamia timu za kenya kwenye michezo ya jumuiya ya madola 2026, itakayofanyika kuanzia julai 24 hadi agosti 2 2026 huko glasgow, Scotland.