- 131 views
Kamati ya bunge la seneti ya uhasibu wa mali ya umma leo imemtetea mkaguzi mkuu wa mahesabu serikalini daktari Nancy Gathungu. Gathungu alikuwa amefika mbele ya kamati hiyo kutetea ripoti yake iliyotilia shaka mfumo wa sha na kuibua mjadala nchini. Maseneta wakiongozwa na seneta wa Nairobi Edwin Sifuna wametaka kuheshimiwa kwa taasisi zinazochunguza utendakazi wa serikali. Hili linakuja huku ripoti zikiashiria kuwa kuna mswada ambao umewasilishwa bungeni ili kupunguza mamlaka ya afisi ya mkaguzi mkuu.
Kamati ya Seneti yamtetea mkaguzi mkuu wa mahesabu serikalini
- - | Diaspora Connect | ››
- 24 Aug 2025 - Images from scene show the matatu completly wrecked.
- 24 Aug 2025 - Shrap singer Boutross Mwebia Munene has revealed that his strong working relationship with fellow artiste Sylvia Ssaru is
- 24 Aug 2025 - Outspoken advocate and human rights activist Ndegwa Njiru has scoffed at President William Ruto following reports that the
- 24 Aug 2025 - Political activist and businessman Morara Kebaso has declared that he has never engaged in bribery or corruption at
- 24 Aug 2025 - CS Murkomen in a spot as Kwa Binzaro cult casualties increase
- 24 Aug 2025 - Why DPP Ingonga is weak link in fight against corruption
- 24 Aug 2025 - How banks are reaping big from regional units
- 24 Aug 2025 - Back to school: Parents, schools brace for chaotic reopening amid cash crisis
- 24 Aug 2025 - Ruto allies whose cases were dropped
- 24 Aug 2025 - Smoke, daggers, and secrets: What Ruto's graft war on MPs reveals