Skip to main content
Skip to main content

Kamati ya usalama Samburu yawanasa washukiwa 10 wa wizi wa kimabavu Maralal

  • | Citizen TV
    1,308 views
    Duration: 3:03
    Kamati ya usalama katika kaunti ya samburu imefanikiwa kuwanasa washukiwa kumi wa wizi wa kimabavu katika mji wa Maralal. Washukiwa hao wanakisiwa kuwa ndio wamekuwa wakiwahangaisha wafanyabiashara mjini humo viunga vyake.