- 19,051 viewsDuration: 2:28Iran imeharibu maeneo 20 ya kijeshi ya Marekani tangu kuanza kwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, picha na video za satelaiti zilizochambuliwa na BBC Verify, zinaonesha mashambulizi makubwa kuliko inavyokubaliwa hadharani. Bosha Nyanje anaelezea kwa kina #bbcswahili #donaldtrump #Iran