Kampeni za uchaguzi Marekani zapambana kupata wapiga kura weusi
Joe Biden na Donald Trump wameshinda uchaguzi wa awali katika vyama vyao kwenye jimbo la Magharibi kati la Wisconsin wiki hii, huku wote wakiwa na uhakika wa uteuzi.
Wagombea hao wanapambana kwa ajili ya kushinda uchaguzi mkuu huko Wisconsin, ni moja ya majimbo yanayoweza kuamua ushindani wa mwaka 2024. Mwandishi wa VOA Scott Stearns anaripoti kuwa kampeni zinafanya kazi kupata uungaji mkono wa wapiga kura weusi huko Wisconsin.
Wapiga kura wa Wisconsin walimchagua Donald Trump mwaka 2016 lakini Joe Biden miaka minne baadaye. Na mara zote ushindani ulikuwa wa karibu. Kwa hiyo, Wisconsin huenda ikaenda upande wowote katika uchaguzi ambao wapiga kura waliokaribia kugawanywa kwa usawa wakigawanya maoni ya umma.
Katika ushindani wa karibu, pande zote zinajaribu kupata mafanikio na wapiga kura wapya.
Kwa Warepublican, hiyo ina maana kujaribu kuingia katika eneo la Wademocrat kihistoria wakiwa ni wapiga kura Weusi, Orlando Owens ni mwenyekiti wa kwanza wa Wamarekani Weusi katika kaunti ya Milwaukee anaeleza haya...
- VOA
#joebiden #donaldtrump #uchaguziwaawali #Wisconsin #kampeni #wapigakura
#watuweusi #voa #voaswahili #scottstearns #afrika
11 Aug 2025
- Special trade agreements between Kenya and the UK allow the export of both goods and labour.
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
12 Aug 2025
- The lakeside town is already abuzz with activity as visitors arrive from across the country, creating a windfall for local businesses and spilling demand into neighbouring counties.
12 Aug 2025
- The Police Service Commission, tasked with reforming the process, found itself under intense scrutiny from both civilians and serving officers, with many expressing concerns that the proposed system could disadvantage candidates from marginalized…
12 Aug 2025
- Nyagana has transformed the underground space into a fully functional dwelling, subdividing it into a sitting room, bedrooms, a kitchen, and even an upper sleeping area. He explains how the arrangement works, noting that he sometimes shifts rooms…
11 Aug 2025
- Kenya has recorded 2,933 road fatalities so far this year, with 80 deaths reported in just the past four days, Roads and Transport Cabinet Secretary Davis Chirchir said on Monday.
11 Aug 2025
- The response was led by Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development and Special Programmes, Geoffrey Ruku.
11 Aug 2025
- CAF says only e-ticket holders to attend Kenya's remaining Group 'A' matches.
11 Aug 2025
- Colombian presidential candidate Miguel Uribe has died two months after being shot at a campaign rally, his family said Monday, as the attack rekindled fears of a return to the nation's violent past.
11 Aug 2025
- Speaking when he commissioned classrooms and a water Project, Funyula, Busia County, Mudavadi, the former DP was a bitter person who had spent his entire time on his US tour planting tribalism abroad.
11 Aug 2025
- The head of a powerful Tunisian trade union confederation called on Monday to defend the group after protesters backed by President Kais Saied levelled harsh accusations against it.
11 Aug 2025
- CAF has warned Kenya of relocating remaining CHAN matches if safety violations continue.