- 495 viewsKampeni za mwezi moja kabla ya uchaguzi mkuu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilianza rasmi Jumapili kukiwa na wasi wasi na mashaka juu ya kufanyika uchaguzi huo kwa njia huru na amani. Karibu watu millioni 44 wamejiandikisha kati ya wakazi milioni 100, kumchagua rais, wabunge na madiwani hapo Disemba 20, wakati nchi iko katika hali nzito ya kisiasa na usalama huko mashariki ya nchi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kampeni zaanza mwezi mmoja kabla ya uchaguzi mkuu DRC
- - LIVE || Sifa Sunday ››
- - LIVE || TV47 WIKENDI ››
- - LIVE| TV47 News Now ››
- 10 Dec 2023 - Egyptians head to the polls on Sunday for a presidential election in which Abdel Fattah al-Sisi is poised to win a third term in power as the country grapples with an economic crisis and a war on its border with Gaza.
- 10 Dec 2023 - Livestock farmers from Migori County are living in fear following the incessant attack by hyenas which has left many of their domesticated animals killed.
- 10 Dec 2023 - Three suspected cattle rustlers have been killed and an unknown number of shoats that were stolen from Isiolo County recovered.
- » Mohamed Amin was a famous Kenyan photojournalist – there’s much more to his work than images of tragedy10 Dec 2023 - Kenyan photojournalist Mohamed Amin (1943-1996) rose to fame for documenting the 1984 famine in neighbouring Ethiopia with powerful images of the tragedy.
- 10 Dec 2023 - To date, tens of millions of animal mummies have been unearthed in Egypt. But while there are millions of mummified cats, dogs, ibises, and birds of prey, primate mummies are rare — and little understood.
- 10 Dec 2023 - The East Africa Legislative Assembly [EALA] Member of Parliament Kanini Kega has said he is enjoying his participation at the ongoing 13th Edition of East African Community Inter-Parliamentary Games (EACoG) currently underway in Kigali,Rwanda. Speaking…
- 10 Dec 2023 - Turkey has issued an international arrest warrant for the son of Somalia’s president, after he allegedly ran over a motorcycle courier, who later died. A police report said Mohammed Hassan Cheikh Mohamud collided with the courier in broad daylight in…
- 10 Dec 2023 - James McAtee scored the only goal against Brentford.
- 10 Dec 2023 - Researchers have found a tyrannosaur’s last meal perfectly preserved inside its stomach cavity.
- 10 Dec 2023 - Only 25 per cent of Kenyans have hand-washing facilities with soap and water at home