- 495 viewsKampeni za mwezi moja kabla ya uchaguzi mkuu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilianza rasmi Jumapili kukiwa na wasi wasi na mashaka juu ya kufanyika uchaguzi huo kwa njia huru na amani. Karibu watu millioni 44 wamejiandikisha kati ya wakazi milioni 100, kumchagua rais, wabunge na madiwani hapo Disemba 20, wakati nchi iko katika hali nzito ya kisiasa na usalama huko mashariki ya nchi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kampeni zaanza mwezi mmoja kabla ya uchaguzi mkuu DRC
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - Trump's supporters say policies for safeguarding people of colour should be repurposed to protect the rights of white people as well.
- 5 May 2024 - Philip Ochieng's idea of publishing roll call should be adopted widely
- 5 May 2024 - Ahead of the University of Michigan's commencement on Saturday, the school has trained staff volunteers on how to mitigate disruptions: a change from the usual duties of guiding guests around campus and showing them to their seats.
- 5 May 2024 - Hamas negotiators began intensified talks on Saturday on a possible Gaza truce that would see a halt to the fighting and the return to Israel of some hostages, a Hamas official told Reuters, with the CIA director already present in Cairo for the indirect…
- 5 May 2024 - Russia launched an overnight drone attack on Ukraine's Kharkiv and Dnipro regions, injuring at least six people and hitting critical infrastructure, commercial and residential buildings, regional officials said on Saturday.
- 5 May 2024 - At least 42 deaths have been recorded from a measles outbreak in just over a week in Nigeria's northeastern state of Adamawa, the state's health commissioner said on Friday.
- 5 May 2024 - German company HyImpulse successfully launched on Friday a candle wax-powered rocket capable of carrying commercial satellites on a test suborbital flight into space for the first time.
- 5 May 2024 - The death toll from rains in Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul rose to 56, local authorities said on Saturday morning, while dozens still have not been accounted for.
- 5 May 2024 - More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law