Skip to main content
Skip to main content

Kampuni ya bima ya Jubilee yahimiza ukaguzi wa mapema wa ugonjwa wa saratani

  • | NTV Video
    115 views
    Duration: 1:39
    Kampuni ya bima ya Jubilee imehimiza ukaguzi wa mapema wa ugonjwa wa saratani ili wale walio na makali ya ugonjwa huo watambulike mapema na kuanza matibabu. Hii itaongeza viwango vya kupona na kupunguza mzigo wa matibabu miongoni mwa wagonjwa. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya