- 821 viewsDuration: 1:56Familia ,Jamaa na marafiki walimuomboleza kanali mstaafu George Were kama mkarimu na aliyekuw ana upendo kwa wote. Kwenye Misa ya wafu iliyofanyika katika kanisa la St. Joseph’s Nyabondo kaunti ya Kisumu, rubani huyo alisifiwa kwa upole wake na utendakazi wa hali ya juu