- 5,919 viewsDuration: 2:51Jioni ya leo, kanisa katoliki limewakashifu viongozi wa kisiasa akiwemo rais William Ruto kwa matumizi ya lugha chafu. Askofu mkuu wa kanisa katoliki Maurice Muhatia akisema matamshi ya rais yaliyoshuhudiwa karibuni yanadunisha pakubwa hadhi ya afisi yake.