Skip to main content
Skip to main content

Kanisa Katoliki lamkosoa William Ruto kwa lugha chafu

  • | Citizen TV
    5,919 views
    Duration: 2:51
    Jioni ya leo, kanisa katoliki limewakashifu viongozi wa kisiasa akiwemo rais William Ruto kwa matumizi ya lugha chafu. Askofu mkuu wa kanisa katoliki Maurice Muhatia akisema matamshi ya rais yaliyoshuhudiwa karibuni yanadunisha pakubwa hadhi ya afisi yake.