Skip to main content
Skip to main content

Katibu Fikirini Jacobs ataka sekta za serikali kushirikiana kuwezesha vijana

  • | Citizen TV
    217 views
    Duration: 1:39
    Katibu wa Idara ya masuala ya Vijana , Fikirini Jacobs, atoa wito wa ushirikiano kwa sekta zote za serikali kuwezesha vijana kabla ya sherehe za Siku ya Kimataifa ya Vijana ya mwaka huu mnamo Agosti 12.