Skip to main content
Skip to main content

Katibu Mkuu wa chama cha walimu, KNUT, Collins Oyuu, amepuuzilia mbali azma ya mtangulizi wake

  • | Citizen TV
    276 views
    Duration: 1:25
    Katibu Mkuu wa chama cha walimu, KNUT, Collins Oyuu, amepuuzilia mbali azma ya mtangulizi wake Wilson Sossion ya kugombea uchaguzi ujao wa kitaifa wa chama hicho, akisema kuwa Sossion si mwanachama wa chama hicho kwa sasa.