- 207 views
Wizara ya elimu imefafanua kuwa watahiniwa wa shule sitini na saba za kibinafsi ambazo vifaa vya mitihani havikuchukuliwa katika siku ya kwanza ya mtihani wa gredi ya sita na KCPE hapo jana ,walihamia shule mbadala baada ya shule hizo kufungwa miaka miwili iliyopita. Akizungumza baada ya kufungua makasha ya mtihani katika kaunti ya Nakuru hii leo ,katibu wa elimu ya msingi Dkt.Julius Jwan amesema watahiniwa wa shule hizo walisajiliwa miaka mitatu iliyopita na wizara hiyo sasa itaanza kuweka mpangilio ili kuepuka visa kama hivi siku zijazo. Haya yanajiri baada ya maswali kuibuka kuhusu shule sitini na saba katika kaunti za Bungoma na Uasin Gishu ambazo vifaa vya mitihani havikusambazwa kwao hapo jana.
Katibu wa elimu ya msingi Dkt. Julius Jwan azuru Nakuru
- - LIVE || TV47 WIKENDI ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE |TV47 MATUKIO ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 20 Apr 2024 - The Kenyans were captured on camera deliberately letting a Chinese national win the race.
- 20 Apr 2024 - Some of the fees have been waived by 75 per cent.
- 20 Apr 2024 - Kenya Power said the the scheduled interuption is to allow time for system maintenance.
- 20 Apr 2024 - KeNHA advised motorists to delay travel plans or use alternative routes.
- 20 Apr 2024 - The disease has become multi-billion business. Facilities are lining up to be called "cancer centres".
- 20 Apr 2024 - Electoral commission has opposed proposed selection panel, quorum law
- 20 Apr 2024 - Former Prime Minister raises fears Kenyans may never know what exactly happened.
- 20 Apr 2024 - There is no vacuum in the military because there is a VCDF.
- 20 Apr 2024 - Military teams have been deployed at his Siaya village home to prepare for ceremony.
- 20 Apr 2024 - At the centre of the push and pull is a 4-year-old minor with US and Kenyan citizenship.