Skip to main content
Skip to main content

Katibu wa Wizara ya Teknolojia ya Mawasiliano azuru Kisii

  • | Citizen TV
    275 views
    Duration: 1:49
    Katibu katika wizara ya Habari na mawasiliano Stephen Isaboke ameeleza msimamo wa serikali wa kupiga jeki vijana maeneo ya mashinani kwa kuwapa mafunzo ya bure ya kidigitali ili kutoa nafasi zaidi za ajira.