Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Lamu yaandaa mbio za kuhamasisha umma kutunza mazingira

  • | Citizen TV
    324 views
    Duration: 2:57
    Kiwango cha maji katika ziwa Kenyatta kaunti ya Lamu kimepungua mno na kuhatarisha maisha ya binadamu na wanyama eneo hilo. serekali Ya kaunti ya Lamu,Wizara ya ulinzi Na wanaharakati Wa kimazimgira wameandaa mbio za nusu marathoni pamoja Na zoezi la upanzi Wa miti ili kutoa hamisisho la kulinda ziwa Kenyatta ambao ndio chanzo cha Maji eneo Zima la Mpeketoni.