- 76 views
Kaunti ya Nairobi inaongoza kwa visa vya mauaji yanayotekelezwa na polisi na watu kupotezwa. Hiyo ni kulingana ripoti iliyotolewa leo katika kaunti ya Siaya na shirika la kutetea haki za binadamu lililoangazia matukio ya mwaka wa 2022. Hatahivyo kwa ujumla visa vya watu kutoweka na kutojulikana waliko pamoja na dhuluma za mauaji zinazotekelezwa na maafisa wa usalama vimepungua kwa asilimia 31.5 ikilinganishwa na mwaka wa 2021.
Kaunti ya Nairobi inaongoza kwa visa vya mauaji yanayotekelezwa na polisi na watu kupotezwa
- - Kimbunga cha Hidaya ››
- 4 May 2024 - A humanitarian volunteer has apologised to Kenyans after sharing a selfie of herself and a friend while conducting rescue efforts at a flood-hit settlement.
- » Rescue volunteer apologises for taking selfie in front of distressed flood victims in Red Cross jacket4 May 2024 - A humanitarian volunteer has apologised to Kenyans after sharing a selfie of herself and a friend while conducting rescue efforts at a flood-hit settlement.
- 4 May 2024 - The Nyamira County government has suspended 79 employees, who face allegations of using fake academic credentials to gain employment.
- 4 May 2024 - Kenya is seeking to leverage private sector partnerships to extend the SGR, to ensure seamless cross-border movement of goods across the East African Community.
- 4 May 2024 - A Nigerian man caught on tape assaulting a Kenyan woman confined to a wheelchair has been deported.
- 4 May 2024 - President William Ruto has conveyed his condolences to the United Arab Emirates (UAE) following the passing of Sheikh Tahnoon bin Mohammed Al Nahyan, Abu Dhabi Ruler’s Representative in Al Ain Region.
- 4 May 2024 - Kilifi Governor Gideon Mung’aro has threatened to dump containers preserving bodies of the Shakahola massacre victims at Kenyatta National Hospital if the government fails to act quickly and remove them.
- 4 May 2024 - The stalemate between doctors and the government continues after the Kenya Medical Practitioners and Pharmacists Union failed to sign a return to work formula.
- 4 May 2024 - Heavy rainfall is expected offshore along the Kenyan coast from Sunday intensifying between Monday and Tuesday.
- 4 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Arsenal cruised past Bournemouth to go four points clear at the top of the Premier League before Saturday’s later games. […]