- 14 views
Chama cha matabibu nchini kimethibitisha kujumuishwa kwa vituo 1,200 vya afya vilivyosajiliwa na zaidi ya matabibu 8,000 katika halmashauri ya afya ya jamii kama ilivyoagizwa na baraza la magavana nchini siku ya Jumatatu. Hata hivyo, chama hicho kinasisitiza kwamba mgomo huo ungalipo hadi baraza lao la ushauri litakapotoa mwelekeo . Akizungumza na runinga ya KBC Channel One, katibu wa chama hicho George Gibore amefichua kuwa jopo limebuniwa na baraza hilo la magavana kwa mazungumuzo kuhusu mkataba wa maelewano wa mwaka 2017 wiki ijayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kaunti zaanza kuweka mikakati ya kusitisha mgomo wa matabibu
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction