- 74 views
Hatma ya wafanyikazi 9000 walioajiriwa chini ya mpango wa utoaji huduma za afya kwa wote haijulikani baada ya baraza la magavana kudai halina fedha za kuendelea kuwalipa wafanyikazi hao ambao kandarasi zao zinakamilika mwezi Mei mwaka wa 2023. Akiwahutubia wanahabari leo, mwenyekiti wa baraza hilo Anne Waiguru amesema kaunti zinakabiliwa na ukosefu wa fedha na kutatiza utoaji huduma. Sasa wanataka kuongezwa kwa pesa zinazotengewa magatuzi pamoja na kuhakikisha wafanyikazi wa mpango wa utoaji huduma za afya kwa wote wanasimamiwa na kaunti na wala sio wizara ya afya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #COG #News #magatuzini
Kazi bila pesa | Wahudumu 9000 kwenye kaunti wako gizani
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - Ukrainian drone and shelling attacks killed three people in Russia on Friday, while Russian bombardments on eastern Ukraine forced the evacuation of a maternity centre in Kharkiv and wounded nine.
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - Samidoh was among the Mt Kenya artists who visited Kindiki in Karen.
- 12 Jul 2025 - Former Kenya national team head coach Jacob “Ghost” Mulee has come out to defend current Harambee Stars tactician Benni McCarthy on his selection criteria and further predicted a tough outing for the East African nation during the 2024 Africa Nations…
- 12 Jul 2025 - When the chill sets in, there’s something deeply comforting about a hot drink in hand, especially when it comes with a kick. Especially when it is right in the thick of the cold July. Forget dainty umbrellas and ice-rattling shakers; ‘Fukuza baridi’…
- 12 Jul 2025 - His resignation coincided with another senior government official's resignation on the same day.
- 12 Jul 2025 - Son of Mexico's 'El Chapo' pleads guilty in US drugs case
- 12 Jul 2025 - Africa paying price of delayed climate funding
- 12 Jul 2025 - Taking to his X account, Kinoti denied the reports as baseless and misleading.