Skip to main content
Skip to main content

KENHA imefanya kiakao na Wakazi wa Nithi Tharaka county kuhusu ujenji wa daraja la Nithi

  • | Citizen TV
    2,072 views
    Duration: 1:38
    Mamlaka ya ujenzi wa Barabara Kuu Nchini KENHA imefanya kikao cha Umma kueleza ujenzi wa daraja jipya la Nithi, pamoja na upanuzi wa barabara hiyo. Kulingana na Mhandisi Michael Wangala Naibu mkurugenzi wa KeNHA, Daraja la Nithi litakuwa na urefu wa Mita 880, na pia barabara itajengwa upya ya urefu wa Kilomita 2.7. ujenzi wa daraja hilo itachukua muda wa miaka miwili.