Skip to main content
Skip to main content

Kenya na Denmark zazindua mradi wa Sh2.5 bilioni wa kurejesha bonde la Ewaso Ng’iro

  • | Citizen TV
    356 views
    Duration: 2:41
    Serikali za Kenya na Denmark kwa pamoja zimezindua mkataba wa thamani ya shilingi bilioni 2.5 unaolenga kurejesha Ewaso Ng'iro River na kuimarisha usalama wa maji.