- 2,259 views
Mpango wa serikali wa kuwatuma maafisa wa polisi elfu moja nchini Haiti umekumbwa na misukosuko kufuatia kuzuka upya kwa mapigano na ghasia katika taifa hilo. Mapigano hayo yalizuka wakati ambapo waziri mkuu wa Haiti Ariel Henri yuko nchini Kenya kutia saini mkataba wa kuharakisha mpango huo. Maelfu ya watu walilazimika kuhama kwao katika mji mkuu wa Port-au-Prince kufuatia ufyatulianaji risasi uliozuka kati ya magenge kadhaa
Kenya na Haiti zatia mkataba wa Kenya-Haiti Nairobi leo
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?
- 27 Jul 2024 - Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
- 27 Jul 2024 - The entities increased their spending by Sh591 million
- 27 Jul 2024 - Audit flags losses at the companies which are heavily in debt
- 27 Jul 2024 - The changes allowed state officers and their families to do business with the government.
- 27 Jul 2024 - Western Kenya and parts of Rift Valley will continue to have rains in the morning.
- 27 Jul 2024 - Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
- 27 Jul 2024 - Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
- 27 Jul 2024 - My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial