Kenya na Ufaransa zastawisha sekta ya uchukuzi

  • | KBC Video
    21 views

    Kenya na Ufaransa zimekamilisha makubaliano ya kuimarisha miundo misingi na sekta ya uchaguzi nchini. Kwa mujibu wa waziri mwenye mamlaka makuu ambaye pia ni waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Musalia Mudavadi mkataba huo utasaidia katika ufadhili na kuboreshwa kwa mfumo wa usafiri wa reli ya Nairobi.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive