Skip to main content
Skip to main content

Kenya Police wapoteza 2-0 kwa Posta Rangers, mabao kila kipindi

  • | Citizen TV
    187 views
    Duration: 1:13
    Masaibu ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Kandanda Kenya Police yanazidi kuongezeka baada ya kulimwa mabao 2-0 na timu ya Posta Rangers. Posta ilifunga bao moja katika kila kipindi na kupata ushindi muhimu katika uwanja wa Kasarani Annex.