- 2,151 views
Wakenya watapata afueni kwa kiasi baada ya kampuni ya Kenya Power kupunguza gharama ya nguvu za umeme. Hii ikimaanisha kuwa, bili za umeme zitapungua kwa takriban asilimia 14 kuanzia mwezi huu Kwenye taarifa, Kampuni hiyo imesema hatua hii imesababishwa na kuimarika kwa shilingi ya Kenya na kupungua kwa gharama ya mafuta yanayotarajiwa kuzalisha umeme. Hii sasa ikimaanisha kuwa wakenya wanaotumia chini ya uniti 30 za umeme watalipa shilingi 629 mwezi huu, ikilinganishwa na shilingi 729 za mwezi jana. Wale wanaotumia zaidi ya uniti 31 hadi 100 za umeme sasa watapata afueni ya asilimia 11.2, huku wanaotumia zaidi ya uniti mia moja wakilipa gharama ya chini kwa asilimia 9.7
Kenya Power yapunguza gharama ya stima Aprili
- 3 Aug 2025 - In a man's world, she raised the headroom for women, lit the way
- 3 Aug 2025 - Harambee Stars start chase for Sh452.2 million prize money
- 3 Aug 2025 - Individuals and companies perceived to be critical of government are getting KRA calls. From accounts being closed to tax certificates being revoked taxman is on overdrive
- 3 Aug 2025 - A former prime minister of Mali was charged Friday with "undermining the credibility of the state" following a social media post about his visits to political prisoners, a Bamako prosecutor said.
- 2 Aug 2025 - A gang of over 15 people raided Mburi Coffee Factory in Gichugu Constituency, Kirinyaga County, tied two watchmen before escaping with bags of coffee of an unknown value.
- 2 Aug 2025 - Agriculture and horticulture have consistently topped Kenya’s export list over the last decade. According to the KNBS Economic Survey 2025, tea and coffee account for 25% and 5% of Kenya’s total exports, respectively. Our tea and coffee industries have…
- 2 Aug 2025 - JOBO stun Musingu Scorpions to lift maiden title as Butere retain girls football trophy
- 2 Aug 2025 - The mood was electric as supporters from across the region gathered to witness the start of one of the continents most anticipated football tournaments.
- 2 Aug 2025 - Countries that cling to fossil fuels are not protecting their economies, they are sabotaging them – undermining competitiveness, and missing the greatest economic opportunity of the 21st century.
- 2 Aug 2025 - The lawyer has been demanding payment for his legal services.