- 2,151 views
Wakenya watapata afueni kwa kiasi baada ya kampuni ya Kenya Power kupunguza gharama ya nguvu za umeme. Hii ikimaanisha kuwa, bili za umeme zitapungua kwa takriban asilimia 14 kuanzia mwezi huu Kwenye taarifa, Kampuni hiyo imesema hatua hii imesababishwa na kuimarika kwa shilingi ya Kenya na kupungua kwa gharama ya mafuta yanayotarajiwa kuzalisha umeme. Hii sasa ikimaanisha kuwa wakenya wanaotumia chini ya uniti 30 za umeme watalipa shilingi 629 mwezi huu, ikilinganishwa na shilingi 729 za mwezi jana. Wale wanaotumia zaidi ya uniti 31 hadi 100 za umeme sasa watapata afueni ya asilimia 11.2, huku wanaotumia zaidi ya uniti mia moja wakilipa gharama ya chini kwa asilimia 9.7
Kenya Power yapunguza gharama ya stima Aprili
- 4 May 2024 - Hope Hicks, a former top aide to Donald Trump, testified on Friday that he told her in the final days of the 2016 presidential election to deny that he had a sexual relationship with porn star Stormy Daniels.
- 4 May 2024 - President William Ruto has cautioned members of parliament against misuse of CDF funds telling them to account for the Ksh.57 billion National Government Constituency Development Fund (NG-CDF)funds allocated this year.
- 4 May 2024 - The government has announced that 219 people have so far lost their lives due to the ongoing heavy rains across the country.
- 4 May 2024 - US President Joe Biden took pointed digs at election rival Donald Trump Friday as he awarded the country's top civilian honor to Democratic allies including former House speaker Nancy Pelosi and vice president Al Gore.
- 4 May 2024 - Dennis Wambua Masavu was convicted by Milimani Senior Principal Magistrate Zainab Abdul.
- 4 May 2024 - These directives come in the wake of recent tragedies.
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya's onset to Kenya was first announced by Ruto following a cabinet meeting held on Thursday.
- 4 May 2024 - Audit reveals that some of the victims of the 2020 floods were still in camps.
- 4 May 2024 - Kenya Kwanza and Azimio legislators agree on a raft of reforms to restructure electoral agency.
- 4 May 2024 - It is a major b**w to the government after it lost an attempt to have six petitions challenging the Affordable Housing Act, 2024 dismissed. Justice Chacha Mwita of Milimani High Court on Friday, May 3, 2024, declined to strike out the lawsuits and…