- 185 viewsMgomo wa marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways lasabibisha kukwama kwa mamia ya safari na bidhaa za kilimo kutoweza kusafirishwa ikiwa ni adha kubwa kwa wafanyabiashara mazao yao kuharibika ambao wanasema mgomo huu utawakosesha pia fursa ya kuendelea kufanya biashara na mataifa ya nje. Kwa upande wa serikali ya Kenya Waziri wa Kilimo amewaomba marubani hao kusitisha mgomo kwa maslahi ya taifa. Hii hapa ni habari kamili... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kenya: Serikali yawaomba marubani wa ndege waliogoma kurudi kazini
- - Duniani Leo ››
- 2 Jul 2025 - The State, through parliament has once more come up with a contentious Bill to control when, how and where the public should hold demonstrations.
- 2 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump's administration cancelled a major contract to supply emergency kits for rape survivors in Congo as violence surged in the east this year, leaving thousands without access to life-saving medication, the United Nations and aid…
- 2 Jul 2025 - The Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret, Uasin Gishu County has made a ground-breaking achievement in healthcare by successfully performing Kenya’s first-ever renal artery bypass surgery.
- 2 Jul 2025 - Iran-linked hackers have threatened to disclose more emails stolen from U.S. President Donald Trump's circle, after distributing a prior batch to the media ahead of the 2024 U.S. election.
- 2 Jul 2025 - Turkish police arrested more than 120 people in the opposition stronghold of Izmir on Tuesday, hours before a key rally in Istanbul, in the latest move targeting President Recep Tayyip Erdogan's opponents.
- 2 Jul 2025 - The MP wore an advocate's attire to Parliament.
- 2 Jul 2025 - An autopsy of a fisherman who died at Kipasi Police Post in Homa Bay County has revealed that he died of strangulation.
- 2 Jul 2025 - The Palestinian health ministry said Israeli fire killed two people in the occupied West Bank on Tuesday, one of them a 15-year-old boy.
- 2 Jul 2025 - In the 21st century and what seemed genius in the 80s and 90s, will be blown out of the water and exposed for what it is.
- 2 Jul 2025 - The National Assembly has unanimously passed the Constitution of Kenya (Amendment) Bill, 2025, which seeks to anchor three critical development funds into the Constitution.