- 576 viewsKenya kama mataifa mengine ya Afrika inategemea mafuta ya petroli na dizeli kutoka mataifa ya nje, ikiwemo Russia na nchi za Kiarabu. Ungana na mwandishi wetu akikuletea sababu kuu zilizopelekea kupanda kwa bei ya mafuta yanayotegemewa kuendeleza uchumi wa Kenya na vipi imeathiri hali ya uchumi wa nchi hiyo. Endelea kusikiliza... #kenya #mataifa #afrika #mafuta #dizeli #petroli #russia #nchizakiarabu #voa #mfumukowabei #bei #bidhaa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kenya yakabiliwa na mfumuko wa bei za bidhaa muhimu
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
- 18 May 2024 - Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
- 18 May 2024 - The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans
- 18 May 2024 - The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
- 18 May 2024 - Sports fans will find a lot of interesting things on the bookmaker's platform
- 18 May 2024 - Audit exposes rot in stalled Sh23m Siaya bus park project