Sudan imeikosoa vikali Kenya kwa kuwa mwenyeji wa utiaji saini wa mkataba wa kisiasa kati ya wanamgambo wa RSF na washirika wao. Mkataba unaotarajiwa kutiwa saini hapo Ijumaa unalenga kuunda serikali mbadala katika maeneo ya Sudan yanayodhibitiwa na RSF. Hata hivyo, Kenya imesisitiza kwamba ina historia ya kusimamia mazungumzo ya kusuluhisha mizozo kati ya pande hasimu kwenye mataifa jirani. Aidha Waziri wa Mambo ya Kigeni Musalia Mudavadi amesema kwamba Kenya inaunga mkono mkutano unaoendelea Nairobi ikiwa kama msuluhishi asiye egemea upande wowote.
1 May 2025
- US President Donald Trump said on Wednesday that Tesla boss Elon Musk could stay working for the White House as long as he wanted but understood the tycoon wanted to get back to his businesses.
1 May 2025
- India's human rights body said Thursday it was investigating reports more than 100 children fell sick after eating a school lunch served after a dead snake was found in the food.
1 May 2025
- If the next pope is from sub-Saharan Africa, he would be the first in Catholic Church history. Catholic Africans think it is a long shot, though some are cautiously optimistic that Pope Francis’ successor could be a Black cardinal from their continent.
1 May 2025
- A confident President William Ruto reiterated that he will not cower from taking the unpopular leadership route to secure development for Kenyans.
1 May 2025
- Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli has called on the government to remodel the tax deductions architecture to favour Kenyan workers.
1 May 2025
- A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.