- 67 views
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 36 aliyemshtumu Mithika Linturi ambaye amependekezwa kwa uteuzi katika wadhifa wa waziri wa kilimo, kwa kujaribu kumbaka, ameyaondoa malalamishi yake. Kufuatia thibitisho la mkurugenzi wa mashtaka ya umma kwamba pande hizo mbili zimeafikiana, hakimu mkuu aliruhusu kuondolewa kwa kesi hiyo na kuagiza kwamba Linturi arejeshewe shilingi elfu-200 pesa taslimu, ilizolipa kama thamana.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #ubakaji #News #mahakamani #mithikalinturi
Kesi ya ubakaji | Wairi mteule Mithika Linturi apumua
- - Duniani Leo ››
- 25 Apr 2024 - The assessment will replace the Kenya Certificate of Primary Education examinations.
- 25 Apr 2024 - One common lesson can be learnt from every disease that has been defeated in history: unity.
- 25 Apr 2024 - In Germany, the organisation focuses on romance scams and money laundering, the force added.
- 25 Apr 2024 - In Kenya, malaria is not just a disease, it is an enduring enemy that has plagued the nation for years.
- 25 Apr 2024 - Move gives foreigners the green light to fully own their investments, repatriate capital and enjoy full protection.
- 25 Apr 2024 - Several Marsabit County top officials were also taken for questioning.
- 25 Apr 2024 - Survey shows schools have poor facilities and high levels of teacher and student absenteeism.
- 25 Apr 2024 - This year, we also celebrate 60 years of diplomatic relations.
- 25 Apr 2024 - We urge immediate action to address the critical needs of those affected by the flooding.
- 25 Apr 2024 - More than 10 people feared dead in Nairobi as President Ruto directs the formation of response team.