- 220 viewsUngana na mwandishi wetu akikuletea hali ya watoto ambao wanakabiliwa na utapiamlo katika katika kituo cha afya mjini Khartoum. Watoto hao na familia zao zimelazimika kukimbia makwao tangu kuanza vita nchini humo. Endelea kusikiliza. #sudan #kambi #chad #wagonjwa #matibabu #utapiamlo #voa #voaswahili #dunianileo #njaa - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kiasi cha watoto 500 wamefariki kwa njaa nchini Sudan
- 17 Jul 2025 - Students of Mawego National Polytechnic in Homa Bay County have written to the interior Principal Secretary Raymond Omollo requesting for the reinstatement of Mawego police station to curb the rising cases of insecurity in the area.
- 17 Jul 2025 - Kenyan rapper Stephen Otieno Adera, alias Stevo Simple Boy’s ex-girlfriend, Purity Vishenwa, famously known as Pritty Vishy, has
- 17 Jul 2025 - The government has arrested several individuals linked with chilling reports of cannibalism in West Pokot County. Interior Cabinet
- 17 Jul 2025 - President William Ruto has challenged his political competitors to publicly present their plans for addressing youth unemployment, accusing
- 17 Jul 2025 - Iraq shopping mall fire kills more than 60
- 17 Jul 2025 - Kenya bets on TechPlomacy to enhance inclusive digital literacy
- 17 Jul 2025 - The MP was ranked at the 2025 Africa Golden Award held in Lagos.
- 17 Jul 2025 - 54 people killed in 24 hours of heavy monsoon rain in Pakistan
- 17 Jul 2025 - Mombasa port registers 8.1 growth in cargo volume
- 17 Jul 2025 - Investigations found some discrepancies in the aftermath of the tragedy.