Kifo cha Mwanasiasa Mkongwe Lawrence Sifuna Simiyu
Aliyekuwa mbunge wa bungoma kusini (sasa kanduyi) lawrence sifuna amefariki.
Sifuna ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa bumula alitangazwa kufariki akiwa na umri wa miaka 77.
Kwa mujibu wa familia mbunge huyo wa zamani aliugua ugonjwa wa kiharusi(stroke) siku chache zilizopita.
Lawrence sifuna alichaguliwa kwa mara ya kwanza kama mbunge mnamo novemba 8, 1979, katika eneo bunge la bungoma kusini wakati huo. Alikitetea tena kiti chake mnamo 1983 .
Alishindwa na aliyekuwa kamishna wa mkoa wa kaskazini mashariki maurice makhanu katika uchaguzi mkuu wa 1988 baada ya eneo bunge la bungoma kusini kubadilishwa jina na kuwa kanduyi.
Sifuna alitwaa tena kiti hicho wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi wa 1992 kupitia tiketi ya ford asili.
18 Jun 2025
- Kariuki was shot by the police yesterday afternoon and was rushed to Kenyatta National Hospital for treatment.
18 Jun 2025
- The officers are currently at the Capitol Hill Police Station.
18 Jun 2025
- His revocation comes barely four months after he was appointed to the role.
18 Jun 2025
- In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
18 Jun 2025
- Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.
18 Jun 2025
- The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.
18 Jun 2025
- Calm has returned to the Nyamira County Assembly after a leadership dispute gripped the devolved unit for over ten months.
18 Jun 2025
- LSK president Faith Odhiambo has called for the arrest of the colleague who was with the police officer captured shooting a face mask vendor in the head during Tuesday's pro-Albert Ojwang's protests in Kenya's capital.
18 Jun 2025
- The crash of an Air India Boeing (BA.N) 787 Dreamliner seconds after takeoff from Ahmedabad city, killing all but one of the 242 people on board, is the world's worst aviation disaster in a decade.
18 Jun 2025
- Kariuki was shot by the police yesterday afternoon and was rushed to Kenyatta National Hospital for treatment.
18 Jun 2025
- The officers are currently at the Capitol Hill Police Station.
18 Jun 2025
- UPDATE: Surgery for 22-year-old Boniface Kariuki, the civilian shot during protests in Nairobi yesterday, was successful; his father, Jonah, says he's under observation
18 Jun 2025
- Police in Nairobi say they have arrested a man on suspicion of potential involvement in terror-related activities.