Kifo cha Mwanasiasa Mkongwe Lawrence Sifuna Simiyu
Aliyekuwa mbunge wa bungoma kusini (sasa kanduyi) lawrence sifuna amefariki.
Sifuna ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa bumula alitangazwa kufariki akiwa na umri wa miaka 77.
Kwa mujibu wa familia mbunge huyo wa zamani aliugua ugonjwa wa kiharusi(stroke) siku chache zilizopita.
Lawrence sifuna alichaguliwa kwa mara ya kwanza kama mbunge mnamo novemba 8, 1979, katika eneo bunge la bungoma kusini wakati huo. Alikitetea tena kiti chake mnamo 1983 .
Alishindwa na aliyekuwa kamishna wa mkoa wa kaskazini mashariki maurice makhanu katika uchaguzi mkuu wa 1988 baada ya eneo bunge la bungoma kusini kubadilishwa jina na kuwa kanduyi.
Sifuna alitwaa tena kiti hicho wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi wa 1992 kupitia tiketi ya ford asili.
15 May 2024
- CS Kindiki had earlier promised to reduce the passport waiting time to 7 days.
15 May 2024
- The incidents have raised alarm over the working relationships of the security units.
15 May 2024
- Nairobi Senator Edwin Sifuna was struggling to contain the crowd.
16 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Under the guidance of H.E. President Wi*liam Ruto, the Ministry of Youth Affairs, Creative Economy, and Sports has received explicit […]
16 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Persons living with disabilities are among the 3,000 households set to benefit from a three-year project meant for residents facing […]
16 May 2024
- Reading Time: < 1 minute Police in Nyahururu yesterday said employees of a second-hand clothes d****r wi*l be charged in connection with the death of […]
16 May 2024
- Reading Time: 3 minutes A group of elite athletes have been dragged into a tussle over the ownership of a matr*monial property valued at […]
16 May 2024
- Singapore on Wednesday swore in Lawrence Wong as its new prime minister Wednesday, replacing Lee Hsien Loong following two decades in office, with the new leader warning that the trade-dependent city-state faced a riskier, more conflict-ridden world.
16 May 2024
- Reading Time: < 1 minute National Council Churches of Kenya (NCCK), has urged the government to intensify the w*r on corruption, to curb theft and […]
16 May 2024
- Reading Time: 3 minutes The country has witnessed an increase in intimate partner k******s, with at least four cases reported in the past one […]
16 May 2024
- Reading Time: < 1 minute The board of the Youth Enterprise Development Fund (YEDF) has refuted reports that the Kenya Kwanza Government has deni*d it […]
16 May 2024
- United States Ambassador to Kenya Meg Whitman has dismissed claims that she is among President William Ruto’s chief advisors.
16 May 2024
- Slovak Prime Minister Robert Fico suffered life-threatening injuries on Wednesday when he was shot and wounded in an attempted assassination that stunned his small Central European nation and drew a chorus of international condemnation.