- 14,164 viewsDuration: 2:09Familia moja katika Kaunti ya Uasin Gishu inaomboleza kifo cha kijana aliyedaiwa kujitoa uhai baada ya kupoteza zaidi ya shilingi 92,000 kupitia kamari, pesa ambazo zilikuwa zimewekwa kando kununua mbolea kuelekea msimu wa upanzi wa Aprili.