Kijana amkatakata babake kwa shoka kisha kumtetekeza hadi kufa huko Nyamira

  • | Citizen TV
    1,347 views

    Maafisa wa polisi wanamzuilia kijana mmoja anayedaiwa kumvamia na kumkatakata babake kwa shoka na kisha kumtetekeza hadi kufa huko Mugirango kaskazini, katika kaunti ya Nyamira