Kilio Cha Wahudumu Wa Afya

  • | Citizen TV
    279 views

    Wahudumu wa afya kwa wote wamekataa mipango ya serikali ya kuwahamishia serikali za kaunti kuanzia julai mwaka huu. Wahudumu hao wa afya ambao waliajiriwa wakati wa janga la COVID-19, wameitaka wizara ya afya kuwapa kandarasi za kudumu kabla ya kuwahamisha.