Skip to main content
Skip to main content

Kina mama washauriwa kufika kliniki kaunti ya Garissa

  • | Citizen TV
    96 views
    Duration: 1:51
    Idara ya afya ya kaunti ya Garissa Imeanzisha mafunzo kwa kina mama wajawazito kwa lengo la kuwahimiza kuhudhuria kliniki katika vituo vya afya vilivyo karibu nao ili kupunguza vifo vya kina mama na watoto wanapojifungua.