Skip to main content
Skip to main content

Kinara wa GTAP Dkt. Isaac Kalua ahimiza Wakenya kupanda miti

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 1:18
    Kenya inapoadhimisha siku ya mazingira leo hii, kinara wa chama cha Green Thinking Action (GTAP) daktari isaac kalua amehimiza upanzi wa miti unaoambatana na miaka ya mtu ili kuafikia malengo ya miti kama alivyoahidi rais.