- 2,642 viewsDuration: 2:40Siku nne kabla ya Muungano wa upinzani kuzuru maeneo ya Meru na Tharaka Nithi kwa ziara ya siku tatu, Naibu rais Profesa Kithure Kindiki amewaonya dhidi ya matumizi ya lugha inayoipaka serikali tope wanapozuru eneo hilo. Kindiki aliyezungumza alipozuru eneo la Meru amemsuta mtangulizi wake Rigathi Gachagua kwa kampeni zake za kupaka tope serikali ya Rais William Ruto. Kamau Mwangi anaarifu.