Kiongozi wa Waislam Atoa Wito wa Kusitishwa Vita Duniani
Mwaka huu biashara katika soko la Islee, Nairobi wafanyabiashara wanasema idadi ya mauzo imeshuka. Lakini bado wafanyabiashara wanasema wanaendelea kuingiza bidhaa kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Dubai, Yemen na Uturuki. Mwandishi wa VOA Zeinab Saidi anaeleza kuwa viongozi wa dini wanaeleza kuwa gharama ya maisha imepanda na hivyo kutoa wito kwa serikali ya Kenya kuchukua hatua kupunguza mfumuko wa bei ambao unawaathiri wananchi. Pia Imam wa Msikiti Nairobi anatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua kusitisha vita vinavyoendelea duniani hivi sasa, akisisitiza kuwa mafundisho ya Uislam yanataka kile unachopendelea wewe kama ilivyo furaha ya siku ya Eid pia umpendelee ndugu yako na jirani yako. Endelea kusikilza...
#waislam #sherehe #sikukuu #iddelfitr #afrikamashariki #sheikh #imam #msikiti #nairobi #gharama #mfumukowabei #bidhaa #dubai #yemen #uturuki
1 May 2024
- The fire broke out on Wednesday evening.
1 May 2024
- The raid comes days after a terrorist attack was reported in Mandera County.
1 May 2024
- In this Newsletter, we are covering the National Assembly's push for NTSA to handle plane and train crashes as well as a Ksh50,000 fine for road users including witnesses.
2 May 2024
- President insists all Kenyans must pay their taxes and urges doctors to go back to work.
2 May 2024
- Everywhere there is gloom, and uncertainty about what happens next at Columbia University.
2 May 2024
- I am a co-creator in my own destiny
2 May 2024
- Pushes to increase production capacity.
2 May 2024
- Mutua will be in the company of Diana Chebet, Joan Cherono, Jackline Nanjala, Rahab Wanjiru and Vanice Kerubo.
2 May 2024
- “With 86 days to the Olympics, we had a lot of discussions on who is suitable to fly the Kenyan flag at the Olympics. It was not easy,” said Tuwei.
2 May 2024
- Bola Edwards blends African arts with lessons on values and leadership
2 May 2024
- AK Nyanza South chairman Peter Angwenyi settled on Kisii University after inspecting the venue and Cardinal Otunga High School, Mosocho.
2 May 2024
- Sancho’s three goals in 16 appearances in his second spell at the club, on loan, is an improvement on the 12 in 82 he managed at Manchester United.
2 May 2024
- He will be in South Africa for the high-performance training and up-skilling programme for the next six months.