Skip to main content
Skip to main content

Kitengo cha tiba ya figo chazinduliwa katika hospitali ya Level 4 ya Elwak, Mandera

  • | KBC Video
    154 views
    Duration: 1:14
    Kaunti ya Mandera, imepiga hatua kubwa baada ya kuzindua kituo cha kusafisha damu katika hospitali ya Level 4 ya Elwak, na kuifanya hospitali hiyo kuwa ya pili inayotoa huduma za matibabu ya figo katika eneo hilo. Akizungumza wakati wa uzinduzi, gavana wa kaunti ya Mandera Mohamed Adan Khalif, amaesema kituo hicho kitawahudumia wakazi wa Elwak na pia wale wa kaunti jirani. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive