Kiungo wa kati wa Real Madrid Eduardo Camavinga apata jeraha
Kiungo wa kati wa Real Madrid Eduardo Camavinga alipata jeraha la kwenye goti alipokuwa akifanya mazoezi na timu ya taifa ya Ufaransa, klabu hiyo ilisema Ijumaa.
Camavinga, 21, alipata jeraha la goti lake la kulia jumatano alipokuwa akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wa Ufaransa kwa ajili ya mechi za kufuzu Euro 2024 na kisha kurejea Uhispania kufanyiwa vipimo vilivyoonesha ukubwa wa tatizo hilo.
Real haijasema lolote mara moja kama atakaa nje kwa muda gani, lakini majeraha makubwa ya goti huwa yanahitaji miezi kadhaa kupona.
16 Aug 2025
- The state agency also listed requirements for applications.
16 Aug 2025
- Some of the cars for sale are Toyota Wish, Corolla and Prado.
16 Aug 2025
- Police have launched an investigation into the incident.
17 Aug 2025
- Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
17 Aug 2025
- A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
17 Aug 2025
- Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
17 Aug 2025
- How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
17 Aug 2025
- Court battles bleed billions from public universities
17 Aug 2025
- Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup
17 Aug 2025
- Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance
17 Aug 2025
- Comedy of errors: Why Ruto has egg on face over jobs
17 Aug 2025
- PS denies money from e-Citizen platform accounts was stolen
17 Aug 2025
- Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties