- 3,440 viewsDuration: 28sWanasayansi wamefanikiwa kumpiga picha kiwavi wa baharini (Jellyfish) adimu sana ambaye ni mkubwa kupita kawaida mwenye urefu wa mita 10. Jellyfish huyu anaishi kwenye kina kirefu cha bahari, sehemu ambayo si rahisi kufikiwa wala kuonekana na binadamu, ndiyo maana huonekana mara chache sana. #bbcswahili #bahari #viumbewabaharini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw