24 Feb 2026 10:17 am | Citizen TV 2,764 views Duration: 4:59 Siku moja baada ya kifo tatanishi cha mwanafunzi wa gredi ya 8 Katika kaunti ya Nakuru, upasuaji wa maiti ili kubaini chanzo cha kifo cha Moses Joseph unafanyika Leo Katika hospital ya rufaa ya Nakuru.