Skip to main content
Skip to main content

Klabu ya Arsenal kutangazwa mabingwa wa Epl msimu huu

  • | BBC Swahili
    13,451 views
    Duration: 1:36
    Klabu ya Soka ya Arsenal huenda wakatangazwa kuwa mabingwa wa Epl msimu huu Kama Man City watafungwa ama kutoka suluhu katika mchezo wao wa leo usiku watakapowakabili AFC Bournemouth. @loko.omi anaelezea. Je nini maoni yako #bbcswahili #kandanda #soka Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw