- 2,182 views
Kamati ya bunge la seneti kuhusu uwiano wa kitaifa, fursa sawa na mshikamano wa maeneo imeibua wasiwasi kuhusiana na muundo wa wafanyikazi katika shirika la kitaifa la takwimu nchini-KNBS ambapo jamii tano pekee zinajumuisha asilimia-64 ya nafasi za ajira zilizoko. Akiwa mbele ya kamati hiyo, mkurugenzi mkuu wa shirika la KNBS, Dkt Macdonald George Obudho alikuwa na wakati mgumu kuelezea ni kwa nini jamii hizo husika pia zina idadi kubwa ya watu katika mchakato wa uajiri wa hivi punde uliofanywa na shirika hilo, kinyume na miongozo iliyotolewa kwenye katiba ya mwaka-2010 kuhusu fursa sawa za ajira katika taasisi za serikali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
KNBS : Yadaiwa asilimia 64 ya wafanyakazi ni kutoka jamii-5
- 15 Jul 2025 - Spanish police have arrested nine people over rare anti-migrant unrest that rocked the town of Torre Pacheco, authorities said on Monday.
- 15 Jul 2025 - A nighttime fire at a nursing home has left nine people dead in the northeastern US state of Massachusetts after a desperate rescue operation, local authorities said Monday.
- 15 Jul 2025 - Karua, the People’s Liberation Party leader and long-time advocate for civil liberties, served as the chief guest at the cultural event that brought together members of the Kenyan diaspora in the U.S. Pacific Northwest.
- 15 Jul 2025 - In a statement released Monday, KUCO announced plans for mass demonstrations on Wednesday, July 17, in Nairobi. The union said it will present a public petition demanding immediate action to address what it described as the deteriorating state of public…
- 15 Jul 2025 - In a constitutional petition filed by UK-based activist Eliud Matindi, Justice Chacha Mwita ruled that there would be no interim orders preventing Lagat from carrying out his duties as Deputy Inspector General until the matter was fully heard and…
- 15 Jul 2025 - IEBC warns against reckless rhetoric as political tempers flare
- 15 Jul 2025 - CMA to pay ex-Sanlam boss for silence that cost him new job
- 15 Jul 2025 - Man dies after learning police shot, killed grandson
- 15 Jul 2025 - Kiunjuri, Gachagua in war of words over Mt Kenya's soul
- 15 Jul 2025 - Muzzled by fear: Chief torn between grieving his daughter aloud and duty