Skip to main content
Skip to main content

KNCHR yagadhabishwa na ukosefu wa uwazi katika chaguzi ndogo

  • | Citizen TV
    397 views
    Duration: 2:22
    Tume ya taifa ya kutetea haki za kibinaadamu ya KNCHR imeelezea kughadhabishwa kwake na kile inachokitaja kuwa ukosefu wa uwazi katika chaguzi ndogo zilizofanyika majuzi. Tume hiyo ikilalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wake kuzuiliwa nje ya baadhi ya vituo vya kupigia kura. KNCHR ikishikilia kuwa uchaguzi huo haukuwa wenye haki