- 367 viewsMwaka 2010 Ghana ilikuwa timu ya tatu barani Afrika kufikia robo fainali katika michuano ya Kombe la Dunia huku ikibeba matumaini ya bara hilo huko Afrika Kusini. Walimaliza mbele ya Australia na Serbia, katika kundi lao kisha wakawashinda Wamarekani kabla ya kushindwa kwa mikwaju ya penalti baada ya utata katika mechi dhidi ya Uruguay mjini Johannesburg. Baada ya kushiriki vibaya nchini Brazil miaka minne baadae Ghana wamerejea katika hatua kubwa ya soka duniani. Sikiliza uchambuzi wa mwandishi wa VOA akiwa nchini Qatar... #voaworldcup2022 #fifaworldcup #worldcup #qatar #qatar2022 #fifa #football #messi #soccer #ronaldo #futbol #futebol - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kombe la Dunia: Ghana yaipa matumaini ya ushindi Afrika
- - Doctors social ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 25 Apr 2024 - Former National Assembly Speaker Francis Ole Kaparo has disclosed how a foreign trip organized for a few Members of Parliament from both sides of the divide in 1993 brought about the presently existing unity and interaction during a dark time of…
- 25 Apr 2024 - The Gaza Strip could surpass famine thresholds of food insecurity, malnutrition and mortality in six weeks, an official from the World Food Programme said on Wednesday.
- 25 Apr 2024 - The European Parliament on Wednesday adopted the first EU-wide rules on combating domestic abuse and violence against women.
- 25 Apr 2024 - President Joe Biden signed a hard-fought bill into law on Wednesday that provides billions of dollars of new U.S. aid to Ukraine for its war with Russia, notching a rare bipartisan victory for the president as he seeks reelection and ending months of…
- 25 Apr 2024 - Israel has procured tens of thousands of tents for Palestinian civilians it intends to evacuate from Rafah in the coming weeks ahead a promised assault on the city it sees as the last bastion of Hamas in the Gaza Strip, Israeli sources said on Wednesday.
- 25 Apr 2024 - A painting by Gustav Klimt that reappeared after nearly a century sold for 30 million euros (Ksh.4.3 billion) on Wednesday, setting a record price for an Austrian auction despite questions surrounding its provenance.
- 25 Apr 2024 - Germany is waging a charm offensive inside the Republican Party. Japan is lining up its own Trump whisperer. Mexican government officials are talking to Camp Trump. And Australia is busy making laws to help Trump-proof its U.S. defense ties.
- 25 Apr 2024 - Police in Nairobi have launched a manhunt for city preacher James Wanjohi in an investigation into a Ksh.600 million job racket.
- 25 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya National Paralympic Committee (KNPC) has picked a squad of 13 athletes that will compete in the 2024 World Para […]
- 25 Apr 2024 - Germany's domestic spy agency told companies on Wednesday they should be on guard against industrial espionage by Beijing, warning them not to be naive or over-reliant on China.