Kongamano la 9 la ugatuzi limezinduliwa rasmi huku sekta ya afya ikiwa miongoni mwa mada kuu

  • | NTV Video
    34 views

    Kongamano la 9 la Ugatuzi limezinduliwa rasmi na Rais William Ruto katika Kaunti ya Homa Bay, huku sekta ya afya ikiwa miongoni mwa mada kuu iliyojadili matumizi ya teknolojia shirikishi na bunifu ili kufanikisha huduma ya afya kwa wote, kwa manufaa ya kukuza uwazi na ufanisi.

    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

    Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya