- 10,998 viewsDuration: 1:28Kongamano la siku 2 la maendeleo ya Afrika lililianfakiwa jijini Nairobi Kenya limefikia kilele huku Ufaransa na Afrika zikikubaliana kuwekeza dola bilioni 25 za Marekani kwa miradi ya nishati,teknolojia ya kisasa na ukuwaji wa uchumi. Afrima inalenga kutumia fursa hii kuongeza mapato ya kifedha kutoka kwa raslimali zake pamoja na kupata mikopo kwa urahisi kutoka kwa Ulaya @ahmedbahajjofficial anataarifa zaidi 🎥: Brian Mala #bbcswahili #kenya #uchumi #teknolojia #ufaransa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw